Hatimaye record label kubwa duniani, Universal Music Group (UMG), imemtangaza rasmi kumsainisha Diamond Platnumz.
Anakuwa msanii wa kwanza kutoka Afrika Mashariki kusainishwa kwenye label hiyo.
Wimbo wake, Marry You akiwa na Ne-Yo ni wa kwanza kutoka chini ya mwamvuli wa Universal Music.
“He’s a star, he is talented and full of energy and creatively he’s on par with any international artist I’ve worked with,” anasema Mkurugenzi Mtendaji wa label hiyo Afrika, Sipho Dlamini.
“He’s focused and determined to succeed. He’s passionate about his country, his people , his language and his culture and I love that. He is a first class performer on stage, his new material is authentic, fresh and African, yet it will touch people across the globe. Artists like him are the reason we do what we do.”
Thursday, February 2, 2017
Universal Music Group (UMG) watangaza rasmi kumsainisha Diamond
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
New Posts
Libya yatangaza hali ya dharura ya mwaka mzima baada ya mafuriko
Serikali ya Libya imetangaza hali ya dharura ya mwaka mzima kwa shabaha ya kuzuia kuenea magonjwa ya kuambukiza katika maeneo yaliyokuumbw...
-
.Na.Ahmad Mmow. Mahakama ya mkoa wa Lindi,leo imewachia huru makada watatu wa CHADEMA waliokuwa wanakabiliwa na shitaka la kushiwishi kute...
-
KINGS FM TOP 30 MAY 27 KWA NGWARU BADO NI SHEEEDAH Midundo mikali inasikika kila kona kwenye media tofauti tofauti duniani kote, Nchin...
-
1. Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, amezungumzia sababu za kukosekana kwa hotuba yake Bungeni na kusema Wame...
No comments:
Post a Comment