Kitabu cha rekodi za dunia cha Guiness kimetangaza picha ya Instagram iliyovunja rekodi kwa kupata likes nyingi zaidi kuliko picha nyingine yoyote iliyowahi kupostiwa.
Picha aliyoipost mwimbaji staa wa Marekani Beyonce na kuthibitisha kuhusu ujauzito wake wa Mapacha imeivunja rekodi hiyo kwa kupata likes MILIONI 6.3 ndani ya saa 8 toka ipostiwe ambapo mpaka leo February 3 2017 22:47 EAT ina likes zaidi ya milioni 9.
Beyonce ameivunja rekodi ya mwimbaji Selena Gomez ambae alikua anaishikilia rekodi ya likes Milioni 6.3 kwenye picha aliyoipost June 25 2016.
Friday, February 3, 2017
Leo imetangazwa picha ya Instagram yenye Likes nyingi zaidi duniani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
New Posts
Libya yatangaza hali ya dharura ya mwaka mzima baada ya mafuriko
Serikali ya Libya imetangaza hali ya dharura ya mwaka mzima kwa shabaha ya kuzuia kuenea magonjwa ya kuambukiza katika maeneo yaliyokuumbw...
-
.Na.Ahmad Mmow. Mahakama ya mkoa wa Lindi,leo imewachia huru makada watatu wa CHADEMA waliokuwa wanakabiliwa na shitaka la kushiwishi kute...
-
KINGS FM TOP 30 MAY 27 KWA NGWARU BADO NI SHEEEDAH Midundo mikali inasikika kila kona kwenye media tofauti tofauti duniani kote, Nchin...
-
1. Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, amezungumzia sababu za kukosekana kwa hotuba yake Bungeni na kusema Wame...
No comments:
Post a Comment