Friday, February 3, 2017

Leo imetangazwa picha ya Instagram yenye Likes nyingi zaidi duniani




Kitabu cha rekodi za dunia cha Guiness kimetangaza picha ya Instagram iliyovunja rekodi kwa kupata likes nyingi zaidi kuliko picha nyingine yoyote iliyowahi kupostiwa.

Picha aliyoipost mwimbaji staa wa Marekani Beyonce na kuthibitisha kuhusu ujauzito wake wa Mapacha imeivunja rekodi hiyo kwa kupata likes MILIONI 6.3 ndani ya saa 8 toka ipostiwe ambapo mpaka leo February 3 2017 22:47 EAT ina likes zaidi ya milioni 9.

Beyonce ameivunja rekodi ya mwimbaji Selena Gomez ambae alikua anaishikilia rekodi ya likes Milioni 6.3 kwenye picha aliyoipost June 25 2016.


No comments:

Post a Comment

New Posts

Libya yatangaza hali ya dharura ya mwaka mzima baada ya mafuriko

  Serikali ya Libya imetangaza hali ya dharura ya mwaka mzima kwa shabaha ya kuzuia kuenea magonjwa ya kuambukiza katika maeneo yaliyokuumbw...