Wolper amezidi kutupa jiwe gizani. Mrembo huyo ameweka kanuni zake tano za mahusiano.
Muigizaji huyo tangu alipodai kuwa hayupo kwenye mahusiano na Harmonize, amekuwa akitumia mtandao wa Instagram kutoa ushauri kwa watu wengine kuhusu mapenzi.
Kupitia mtandao huo, Wolper ameandika kanuni hizo ambazo ni:
1. Stay faithful (kuwa mwaminifu)
2. Make them feel wanted
3. Respect your partner (muheshimu mpenzi wako)
4. Don’t flirt with others (usijitamanishe kwa wengine)
5. Make time (tenga muda)
Tuesday, February 7, 2017
Hizi ni kanuni 5 za Wolper kwenye mahusiano
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
New Posts
Libya yatangaza hali ya dharura ya mwaka mzima baada ya mafuriko
Serikali ya Libya imetangaza hali ya dharura ya mwaka mzima kwa shabaha ya kuzuia kuenea magonjwa ya kuambukiza katika maeneo yaliyokuumbw...
-
.Na.Ahmad Mmow. Mahakama ya mkoa wa Lindi,leo imewachia huru makada watatu wa CHADEMA waliokuwa wanakabiliwa na shitaka la kushiwishi kute...
-
KINGS FM TOP 30 MAY 27 KWA NGWARU BADO NI SHEEEDAH Midundo mikali inasikika kila kona kwenye media tofauti tofauti duniani kote, Nchin...
-
1. Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, amezungumzia sababu za kukosekana kwa hotuba yake Bungeni na kusema Wame...
No comments:
Post a Comment