Mchekeshaji/Mtangazaji na Mshindi wa Big brother Africa Idriss Sultanameonyesha kutofurahishwa na sauti iliyosambazwa kwenye mitandao ya kijamii ikiwa inasikika sauti yaWema Sepetu akitoa malalamiko yake na kuzungumzia ishu ya kukamatwa kwake na Polisi.
Inaonekana sauti hizo zimerekodiwa bila Wema Sepetu kufahamu kama anarekodiwa hivyo akajiachia akijua anaongea maongezi ya faragha na waliokwenda kumtembelea.
“Na muendelee kupiga kelele kutembelea watu central na kuwarekodi bila wao kujua kwakua tunachukulia maisha ya watu kama mfumo wa likes na following bila kujua tunawaumiza kiasi gani kwa tunachokifanya’
“Basi tuendelee na tutaona kama tunaowapenda kama tunavyosema tutakua tumewatendea haki, kwa hili nimeshindwa kunyamaza, mnajidai Marafiki na watu wa kweli kumbe unafki unatujaa’
“Tutaua Familia zetu na kuwa wa kwanza kulia kwenye msiba, UBINADAMU UKWAPI ? 😒 Kama hamjaenda kutoa moral support basi kaeni majumbani kwenu na mposti posti vimachozi na unafki wenu sio kutuchafulia hata pale pasafi padogo palipobaki 😡😡😡”
Tuesday, February 7, 2017
Idriss ashindwa kuvumilia na kuyaandika haya, imeanzia kwa sauti ya Wema Sepetu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
New Posts
Libya yatangaza hali ya dharura ya mwaka mzima baada ya mafuriko
Serikali ya Libya imetangaza hali ya dharura ya mwaka mzima kwa shabaha ya kuzuia kuenea magonjwa ya kuambukiza katika maeneo yaliyokuumbw...
-
.Na.Ahmad Mmow. Mahakama ya mkoa wa Lindi,leo imewachia huru makada watatu wa CHADEMA waliokuwa wanakabiliwa na shitaka la kushiwishi kute...
-
KINGS FM TOP 30 MAY 27 KWA NGWARU BADO NI SHEEEDAH Midundo mikali inasikika kila kona kwenye media tofauti tofauti duniani kote, Nchin...
-
1. Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, amezungumzia sababu za kukosekana kwa hotuba yake Bungeni na kusema Wame...
No comments:
Post a Comment