February 2 2017 imeadhimishwa siku ya sheria ambayo ndio mwaka mpya wa Mahakama kuashiria kuanza kazi kwa Mahakama na mgeni rasmi alikuwa Rais Magufuli ambaye alihoji kuhusu Mahakimu 28 ambao walifunguliwa kesi za jinai nyingi zikiwa za rushwa na kushinda kesi hizo, alihoji je ni kweli kuwa hakufanya makosa hayo, kesi ilikosewa kufunguliwa? au ?
Thursday, February 2, 2017
VIDEO: Rais Magufuli alivyohoji Mahakimu 28 walioshinda kesi za jinai
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
New Posts
Libya yatangaza hali ya dharura ya mwaka mzima baada ya mafuriko
Serikali ya Libya imetangaza hali ya dharura ya mwaka mzima kwa shabaha ya kuzuia kuenea magonjwa ya kuambukiza katika maeneo yaliyokuumbw...
-
.Na.Ahmad Mmow. Mahakama ya mkoa wa Lindi,leo imewachia huru makada watatu wa CHADEMA waliokuwa wanakabiliwa na shitaka la kushiwishi kute...
-
KINGS FM TOP 30 MAY 27 KWA NGWARU BADO NI SHEEEDAH Midundo mikali inasikika kila kona kwenye media tofauti tofauti duniani kote, Nchin...
-
1. Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, amezungumzia sababu za kukosekana kwa hotuba yake Bungeni na kusema Wame...
No comments:
Post a Comment