Thursday, February 2, 2017

VIDEO: Rais Magufuli alivyohoji Mahakimu 28 walioshinda kesi za jinai



February 2 2017 imeadhimishwa siku ya sheria ambayo ndio mwaka mpya wa Mahakama kuashiria kuanza kazi kwa Mahakama na mgeni rasmi alikuwa Rais Magufuli ambaye alihoji kuhusu Mahakimu 28 ambao walifunguliwa kesi za jinai nyingi zikiwa za rushwa na kushinda kesi hizo, alihoji je ni kweli kuwa hakufanya makosa hayo, kesi ilikosewa kufunguliwa? au ?


No comments:

Post a Comment

New Posts

Libya yatangaza hali ya dharura ya mwaka mzima baada ya mafuriko

  Serikali ya Libya imetangaza hali ya dharura ya mwaka mzima kwa shabaha ya kuzuia kuenea magonjwa ya kuambukiza katika maeneo yaliyokuumbw...