Jana Kamshna wa Polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam Simon Sirro alitoa taarifa iliyosema kuwa wamewakamata Watuhumiwa wa dawa za kulevya 112 na kinachofata ni leo February 7 2017 baadhi ya Watuhumiwa wa hao kufikishwa Mahakama ya mkazi kisutu.
Kwenye orodha ya Watuhumiwa hao wapo baadhi ya watu maarufu wakiwemo Wasanii wa bongofleva ambapo hizi ni picha kuanzia wanapotoka Polisi kuelekea Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu.
Mwimbaji T.I.D na wengine wakiwa kwenye gari kuelekea Mahakamani
T.I.D baada ya kufika Mahakamani
Waandishi wa habari
Rommy Jones na Nyandu
Tunda, Rachel na wengine wakiwa tayari Mahakamani
Mama wa Mwigizaji Wema Sepetu akiwa anatoka kituo cha kati cha Polisi
Mama mzazi wa Diamond Platnumz ni miongoni mwa ndugu waliojitokeza kufatilia ndugu zao
Tuesday, February 7, 2017
PICHA 14: Watuhumiwa wa ishu ya dawa za kulevya Dar walivyopelekwa Mahakamani leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
New Posts
Libya yatangaza hali ya dharura ya mwaka mzima baada ya mafuriko
Serikali ya Libya imetangaza hali ya dharura ya mwaka mzima kwa shabaha ya kuzuia kuenea magonjwa ya kuambukiza katika maeneo yaliyokuumbw...
-
.Na.Ahmad Mmow. Mahakama ya mkoa wa Lindi,leo imewachia huru makada watatu wa CHADEMA waliokuwa wanakabiliwa na shitaka la kushiwishi kute...
-
KINGS FM TOP 30 MAY 27 KWA NGWARU BADO NI SHEEEDAH Midundo mikali inasikika kila kona kwenye media tofauti tofauti duniani kote, Nchin...
-
1. Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, amezungumzia sababu za kukosekana kwa hotuba yake Bungeni na kusema Wame...
No comments:
Post a Comment