Tuesday, February 7, 2017

PICHA 14: Watuhumiwa wa ishu ya dawa za kulevya Dar walivyopelekwa Mahakamani leo





Jana Kamshna wa Polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam Simon Sirro  alitoa taarifa iliyosema kuwa wamewakamata Watuhumiwa wa dawa za kulevya 112 na kinachofata ni leo February 7 2017 baadhi ya Watuhumiwa wa hao kufikishwa Mahakama ya mkazi kisutu.

Kwenye orodha ya Watuhumiwa hao wapo baadhi ya watu maarufu wakiwemo Wasanii wa bongofleva ambapo hizi ni picha kuanzia wanapotoka Polisi kuelekea Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu.

Mwimbaji T.I.D na wengine wakiwa kwenye gari kuelekea Mahakamani

T.I.D baada ya kufika Mahakamani

Waandishi wa habari

Rommy Jones na Nyandu

Tunda, Rachel na wengine wakiwa tayari Mahakamani

Mama wa Mwigizaji Wema Sepetu akiwa anatoka kituo cha kati cha Polisi





Mama mzazi wa Diamond Platnumz ni miongoni mwa ndugu waliojitokeza kufatilia ndugu zao


No comments:

Post a Comment

New Posts

Libya yatangaza hali ya dharura ya mwaka mzima baada ya mafuriko

  Serikali ya Libya imetangaza hali ya dharura ya mwaka mzima kwa shabaha ya kuzuia kuenea magonjwa ya kuambukiza katika maeneo yaliyokuumbw...