RC hana mamlaka ya kisheria ya kumuita mtu Polisi, nitamfungulia mashtaka ya kunichafulia jina langu kwa kunihusisha na biashara ya dawa za kulevya, nipo tayari kutoa ushirikiano wakati wowote endapo njia sahihi zitatumika.
Mbowe ameyasema haya wakati akizungumza na waandishi wa habari
Sisi kama Chama tunaunga mkono jitihada za mapambano dhidi ya dawa za kulevya, Serikali imechelewa kuendesha vita, CHADEMA na Kambi ya Upinzani kwa ujumla haiungi mkono mapambano hayo yanayoendeshwa kwa hila.
RC anachofanya ni kuwaepusha watuhumiwa wa dawa za kulevya na mkono wa sheria.
Sjawahi kujihusisha kwa kufanya biashara wala kutumia madawa ya kulevya wakati wowote katika maisha yangu.
Friday, February 10, 2017
Mbowe: Siendi polisi kwa wito wa Makonda
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
New Posts
Libya yatangaza hali ya dharura ya mwaka mzima baada ya mafuriko
Serikali ya Libya imetangaza hali ya dharura ya mwaka mzima kwa shabaha ya kuzuia kuenea magonjwa ya kuambukiza katika maeneo yaliyokuumbw...
-
.Na.Ahmad Mmow. Mahakama ya mkoa wa Lindi,leo imewachia huru makada watatu wa CHADEMA waliokuwa wanakabiliwa na shitaka la kushiwishi kute...
-
KINGS FM TOP 30 MAY 27 KWA NGWARU BADO NI SHEEEDAH Midundo mikali inasikika kila kona kwenye media tofauti tofauti duniani kote, Nchin...
-
1. Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, amezungumzia sababu za kukosekana kwa hotuba yake Bungeni na kusema Wame...
No comments:
Post a Comment