Wednesday, February 1, 2017

Facebook yaelezea faida ilopata



Kampuni ya mtandao wa facebook imeripoti kuongezeka kwa faida katika ripoti yake ya robo ya kwanza ya mwaka 2016.

Kampuni hiyo ilijipatia zaidi ya dola bilioni tatu na nusu ,na kupita makadirio .

Hisa zake zilipanda thamani kwa asilimia 2 baada ya biashara ya saa moja.

Kwengineko mahakama moja ya kijimbo nchini Marekani imeitaka facebookm kuilipa dola milioni mia tano kampuni ya uchapishaji wa videogame ZeniMaxMedia kwa kutumia kodi ya kumpyuta yake ili kuzindua Virtual Reality Headset.

ZeniMax ilidai kwamba mfanyikazi wake mmoja wa zamani ambaye sasa ndio afisa mkuu wa maswala ya teknolojia katika facebook alianzisha teknolojia hiyo wakati bado alipokuwa akiifanyia kazi kampuni hiyo.

No comments:

Post a Comment

New Posts

Libya yatangaza hali ya dharura ya mwaka mzima baada ya mafuriko

  Serikali ya Libya imetangaza hali ya dharura ya mwaka mzima kwa shabaha ya kuzuia kuenea magonjwa ya kuambukiza katika maeneo yaliyokuumbw...