Tunda Man ni msanii wa bongofleva ambaye makazi yake ni Dar es salaam ambapo February 3 2017 Mkuu wa mkoa Dar es salaam Paul Makonda alizungumza kwenye makao ya Polisi kituo cha kati na kusema miongoni mwa watu atakaowahitaji wakamuone Jumatatu kwa ishu ya dawa za kulevya ni pamoja na Tunda.
Kwa sababu mkuu wa mkoa hakutumia majina halisi ya kuzaliwa, watu mbalimbali walianza kumpigia simu msanii Tunda Man baada ya kuambiwa jina lililotajwa na Makonda ni Tunda.
Baada ya simu za kutosha Tunda Man aliamua kuandika Instagram kwamba sio yeye aliyetajwa bali aliyetajwa ndio huyo kwenye picha, akaambatanisha na picha ya Mrembo Tunda ambaye ameonekana kama video queen kwenye video za bongofleva.
Tundaman aliandika ‘Jamani Tunda aliyetajwa na Muheshimiwa @PaulMakonda ni huyu na sio mie maana simu zimekua nyingi, @Sudibrown na wewe hujui au umeamua kunipigia tu….’
Saturday, February 4, 2017
MIX Tundaman kayaandika haya baada ya ‘Tunda’ kutajwa kwenye list ya Mh. Makonda
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
New Posts
Libya yatangaza hali ya dharura ya mwaka mzima baada ya mafuriko
Serikali ya Libya imetangaza hali ya dharura ya mwaka mzima kwa shabaha ya kuzuia kuenea magonjwa ya kuambukiza katika maeneo yaliyokuumbw...
-
.Na.Ahmad Mmow. Mahakama ya mkoa wa Lindi,leo imewachia huru makada watatu wa CHADEMA waliokuwa wanakabiliwa na shitaka la kushiwishi kute...
-
KINGS FM TOP 30 MAY 27 KWA NGWARU BADO NI SHEEEDAH Midundo mikali inasikika kila kona kwenye media tofauti tofauti duniani kote, Nchin...
-
1. Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, amezungumzia sababu za kukosekana kwa hotuba yake Bungeni na kusema Wame...
No comments:
Post a Comment