Thursday, February 2, 2017

Picha: Harmorapa si wa mchezo mchezo, aonyesha mahela mtandaoni

Msanii wa muziki wa hip hop Harmorapa akiwa bado anaendelea kutrendi katika mitandao ya kijamii, amekuja na mpya kwa kuonyesha mabunda ya hela mtandaoni.

Rapper huyo ambaye anafananishwa na msanii kutoka kundi la WCB Rajab Abdulhan ‘Harmonize’, Jumatano hii zimesambaa picha mtandaoni akionyesha kinachompatia jeuri.

Kwa habari ambazo bado hazijathibitika zinadai kuwa rapa huyo yupo chini ya wafanyabiashara wakubwa jiji Dar es salaam.

Rapper huyo hivi karibuni aliachia wimbo mpya ‘Usigawe Pasi’ akiwa amemshirikisha Em One.

No comments:

Post a Comment

New Posts

Libya yatangaza hali ya dharura ya mwaka mzima baada ya mafuriko

  Serikali ya Libya imetangaza hali ya dharura ya mwaka mzima kwa shabaha ya kuzuia kuenea magonjwa ya kuambukiza katika maeneo yaliyokuumbw...