STAA wa Muziki na Filamu Bongo, Baby Joseph Madaha, amekanusha vikali madai ya usagaji yanayomuandama na kuahidi kumuanika mpenzi wake muda muafaka utakapofi ka. Akizungumza na mwanahabari wetu hivi karibuni, Baby Madaha alisema watu wengi wamekuwa wakimsema kwamba yeye ni msagaji kitu ambacho si cha kweli. “Najua wanasema hivi kwa sababu hawajawahi.
kumuona mpenzi wangu, mimi sisagani na kamwe hawawezi kumuona mpenzi wangu kirahisi kwani nitamuanika pale tu yatakapofi kia mambo ya ndoa, wanaume hawaaminiki, unaweza kumuanika leo, kesho akasepa zake,” alisema Baby Madaha.
Saturday, February 4, 2017
Baby Madaha: Mimi Siyo Msagaji, Mtamuona Baby Wangu!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
New Posts
Libya yatangaza hali ya dharura ya mwaka mzima baada ya mafuriko
Serikali ya Libya imetangaza hali ya dharura ya mwaka mzima kwa shabaha ya kuzuia kuenea magonjwa ya kuambukiza katika maeneo yaliyokuumbw...
-
.Na.Ahmad Mmow. Mahakama ya mkoa wa Lindi,leo imewachia huru makada watatu wa CHADEMA waliokuwa wanakabiliwa na shitaka la kushiwishi kute...
-
KINGS FM TOP 30 MAY 27 KWA NGWARU BADO NI SHEEEDAH Midundo mikali inasikika kila kona kwenye media tofauti tofauti duniani kote, Nchin...
-
1. Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, amezungumzia sababu za kukosekana kwa hotuba yake Bungeni na kusema Wame...
No comments:
Post a Comment