Tuesday, February 7, 2017

Wasanii wanaotuhumiwa na kutumia Dawa za kulevya wafikishwa mahakamani leo


T.I.D

Dar es Salaam. Baadhi ya wasanii wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kuwekwa katika chumba wanachokaa askari polisi kusubiria kama watapandishwa kizimbani.


Wasanii hao ni baadhi ya wale walioohojiwa na polisi kuhusu tuhuma za kujihusisha na madawa ya kulevya zilizotolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.


Baadhi ya wasanii hao walioko Kisutu hivi sasa ni pamoja na TID, Petit Man na Tunda.


Petit  Man

Tunda


No comments:

Post a Comment

New Posts

Libya yatangaza hali ya dharura ya mwaka mzima baada ya mafuriko

  Serikali ya Libya imetangaza hali ya dharura ya mwaka mzima kwa shabaha ya kuzuia kuenea magonjwa ya kuambukiza katika maeneo yaliyokuumbw...