Watu watano wamefariki dunia baada ya gari waliokuwa wakisafiria kupata ajali na kupinduka katika eneo la Mwika Mawanjeni Maarufu kama Bar mpya mkoani Kilimanjaro.
Miongoni mwa waliofariki ni waandishi wawili wa habari mmoja akiwa ni wa gazeti la Habari Leo Bw. Anold Swai na Mwenyekiti wa UVCCM wilaya ya Hai, na mwingine ni mwadishi wa habari wa kujitegemea.
Sunday, February 5, 2017
Ajali yaua watano wakiwemo waandishi wa habari
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
New Posts
Libya yatangaza hali ya dharura ya mwaka mzima baada ya mafuriko
Serikali ya Libya imetangaza hali ya dharura ya mwaka mzima kwa shabaha ya kuzuia kuenea magonjwa ya kuambukiza katika maeneo yaliyokuumbw...
-
.Na.Ahmad Mmow. Mahakama ya mkoa wa Lindi,leo imewachia huru makada watatu wa CHADEMA waliokuwa wanakabiliwa na shitaka la kushiwishi kute...
-
KINGS FM TOP 30 MAY 27 KWA NGWARU BADO NI SHEEEDAH Midundo mikali inasikika kila kona kwenye media tofauti tofauti duniani kote, Nchin...
-
1. Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, amezungumzia sababu za kukosekana kwa hotuba yake Bungeni na kusema Wame...
No comments:
Post a Comment