Sunday, February 5, 2017

Ajali yaua watano wakiwemo waandishi wa habari



Watu watano wamefariki dunia baada ya gari waliokuwa wakisafiria kupata ajali na kupinduka katika eneo la Mwika Mawanjeni Maarufu kama Bar mpya mkoani Kilimanjaro.

Miongoni mwa waliofariki ni waandishi wawili wa habari mmoja akiwa ni wa gazeti la Habari Leo Bw. Anold Swai na Mwenyekiti wa UVCCM wilaya ya Hai, na mwingine ni mwadishi wa habari wa kujitegemea.




No comments:

Post a Comment

New Posts

Libya yatangaza hali ya dharura ya mwaka mzima baada ya mafuriko

  Serikali ya Libya imetangaza hali ya dharura ya mwaka mzima kwa shabaha ya kuzuia kuenea magonjwa ya kuambukiza katika maeneo yaliyokuumbw...