Thursday, February 9, 2017

BREAKING NEWS: Manji akamatwa tena wakati akitoka sentro, arudishwa ndani



Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji amerudishwa na kushikiliwa ndani ya Kituo Kikuu cha Polisi jijini Dar es Salaam.


Manji alirudishwa kituoni hapo akiwa tayari amefika nje akiwa tayari kuondoka.


No comments:

Post a Comment

New Posts

Libya yatangaza hali ya dharura ya mwaka mzima baada ya mafuriko

  Serikali ya Libya imetangaza hali ya dharura ya mwaka mzima kwa shabaha ya kuzuia kuenea magonjwa ya kuambukiza katika maeneo yaliyokuumbw...