
T.I.D
Dar es Salaam. Baadhi ya wasanii wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kuwekwa katika chumba wanachokaa askari polisi kusubiria kama watapandishwa kizimbani.
Wasanii hao ni baadhi ya wale walioohojiwa na polisi kuhusu tuhuma za kujihusisha na madawa ya kulevya zilizotolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.
Baadhi ya wasanii hao walioko Kisutu hivi sasa ni pamoja na TID, Petit Man na Tunda.
Petit Man
Tunda
Tuesday, February 7, 2017
Wasanii wanaotuhumiwa na kutumia Dawa za kulevya wafikishwa mahakamani leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
New Posts
IJUE SCANIA P380[Mende]
Scania P380 Mende ni nini? Scania P380 ni mojawapo ya malori maarufu yaliyoundwa kwa nguvu na ufanisi wa hali ya juu, hasa kwa mazingira ya ...
-
Scania P380 Mende ni nini? Scania P380 ni mojawapo ya malori maarufu yaliyoundwa kwa nguvu na ufanisi wa hali ya juu, hasa kwa mazingira ya ...
-
Ugonjwa wa kuchekacheka ulitokea kwa mara ya kwanza mwaka 1962 katika shule ya Kashasha, wilayani Muleba, Tanganyika. Wanafunzi wa kike wa...
-
Wizara ya Ulinzi ya Taiwan imesema leo Jumatatu kuwa imenasa ndege 103 za kivita za China karibu na kisiwa hicho katika muda wa saa 24, ida...
No comments:
Post a Comment