Dogo janja ni msanii anayezidi kufanya vizuri kwenye mziki wake tangu aliporudi upya amekuwa akionyesha utofauti mkubwa kwenye muziki wake kitu ambacho wasanii wengi wamekuwa wakimpongeza. Dogo janja ametumia ukurasa wake wa Instagram kutuonyesha muonekano wake mpya akiwa amevaa meno ya dhahabu kama walivyofanya, AY, Diamond Platnumz na Vanessa Mdee.
Friday, January 6, 2017
Dogo Janja amefata walichokifanya AY, Diamond Platnumz na Vanessa Mdee
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
New Posts
IJUE SCANIA P380[Mende]
Scania P380 Mende ni nini? Scania P380 ni mojawapo ya malori maarufu yaliyoundwa kwa nguvu na ufanisi wa hali ya juu, hasa kwa mazingira ya ...
-
Scania P380 Mende ni nini? Scania P380 ni mojawapo ya malori maarufu yaliyoundwa kwa nguvu na ufanisi wa hali ya juu, hasa kwa mazingira ya ...
-
Ugonjwa wa kuchekacheka ulitokea kwa mara ya kwanza mwaka 1962 katika shule ya Kashasha, wilayani Muleba, Tanganyika. Wanafunzi wa kike wa...
-
Wizara ya Ulinzi ya Taiwan imesema leo Jumatatu kuwa imenasa ndege 103 za kivita za China karibu na kisiwa hicho katika muda wa saa 24, ida...

No comments:
Post a Comment