Sunday, January 22, 2017

PICHA 3 Muonekano mpya wa Basi la Simba

Basi la klabu ya Simba aina ya Yutong sasa lina muonekano mpya baada ya wadhamini TBL kupitia Kilimanjaro kutoongeza mkataba mpya.

Mwonekano wake safari hii, kuna picha za wachezaji mbalimbali. Je, una maoni kuhusiana na mwonekano wake?


No comments:

Post a Comment

New Posts

Libya yatangaza hali ya dharura ya mwaka mzima baada ya mafuriko

  Serikali ya Libya imetangaza hali ya dharura ya mwaka mzima kwa shabaha ya kuzuia kuenea magonjwa ya kuambukiza katika maeneo yaliyokuumbw...