Friday, January 6, 2017

Helmeti zatajwa kuwa chanzo cha maradhi ya ngozi

Dodoma. Wakati Sheria ya Usalama Barabarani inamtaka kila dereva wa bodaboda kuwa na kofia ngumu (helmeti) mbili kwa ajili yake na abiria, watumiaji wa vyombo hivyo wapo hatarini kuambukizwa maradhi ya ngozi.

Hatari hiyo inatokana na matumizi ya helmeti chafu.

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dk James Kiologwe alisema watumiaji wa usafiri huo wamekuwa wakitumia helmeti moja bila kujali kama imefanyiwa usafi, huku wengine wakilazimika kuvaa zilizo chafu ili kutekeleza matakwa ya sheria.

No comments:

Post a Comment

New Posts

Libya yatangaza hali ya dharura ya mwaka mzima baada ya mafuriko

  Serikali ya Libya imetangaza hali ya dharura ya mwaka mzima kwa shabaha ya kuzuia kuenea magonjwa ya kuambukiza katika maeneo yaliyokuumbw...