Saturday, January 14, 2017

Meek Mill aomba pambano la ngumi na Drake

Baada ya pambano la Soulja Boy na Chris Brown kuwa na mvuto mkubwa duniani, rapper Meek Mill ameomba pambano la ulingoni na Drake.

Ijumaa hii kimesambaa kipande cha video mitandaoni kikimuonyesha Meek akizungumza kuwa anahitaji pambano na Drake lakini sharti lake anataka alipwe dola milioni tano huku akimtaka ex wake Nicki Minaj awe ni mrembo wa ulingoni [Ring girl]. “I’ll break Drizzy the fuck up for five mill. Of course, I would,” amesema Meek katika video hiyo.

“We gonna let Nicki [Minaj] be the ring girl. Y’all would come to see that fight, wouldn’t y’all? Y’all’d spend $100 a ticket for that,” ameongeza.


No comments:

Post a Comment

New Posts

Libya yatangaza hali ya dharura ya mwaka mzima baada ya mafuriko

  Serikali ya Libya imetangaza hali ya dharura ya mwaka mzima kwa shabaha ya kuzuia kuenea magonjwa ya kuambukiza katika maeneo yaliyokuumbw...