Friday, January 6, 2017

Watu 11 wa familia moja wanusurika kifo baada ya jengo la ghorofa kuungua moto.

Watu 11 wa familia moja wamenusurika kifo baada ya jengo la ghorofa mbili walilokua wakiishi kuteketea kwa moto upande wa juu katika mtaa wa kikundi manisaa ya Morogoro na kusababisha uharibifu wa mali za familia hiyo.

ITV imefika katika mtaa huo na kushuhudia moto huo ukiendela kuwaka huku kikosi cha jeshi la zimamoto na uokoaji mkoani Morogoro likiendelea na jitihada za kuuzima moto huo.

No comments:

Post a Comment

New Posts

Libya yatangaza hali ya dharura ya mwaka mzima baada ya mafuriko

  Serikali ya Libya imetangaza hali ya dharura ya mwaka mzima kwa shabaha ya kuzuia kuenea magonjwa ya kuambukiza katika maeneo yaliyokuumbw...