Chanzo inadaiwa kuwa ni uzembe wa Polisi wa usalama barabarani. Askari amemsimamisha Dereva wa Roli mita 10 kutoka taa za barabarani..huku mwenye boda akiwa nyuma ya Roli ...
Mashuhuda wa ajali hiyo wamedai kuwa mwenye Boda alipojaribu kukwepa Roli hilo akagongwa na Roli lingine nakufia hapo hapo...fuvu la kichwa likapasukia ndani ya Element yake.
Baada ya tukio wananchi wakagoma kutoa ushirikiano kwa Askari umati mkubwa uliokuwa eneo hilo wakigomea magari binafsi kubeba mwili wa marehemu....
Hata gari la polisi ilipofika eneo la tukio kwa ajili ya kubeba mwili bado wananchi wakagoma kubeba mwili kwa madai kuwa ni uzembe wao. Mbaya zaidi Askari aliyesababisha ajali hiyo akikimbilia kituoni kwa aibu na woga wa kupigwa na wanachi.
Thursday, March 2, 2017
Ajali hii imetokea muda huu hapa External jijini Dar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
New Posts
Libya yatangaza hali ya dharura ya mwaka mzima baada ya mafuriko
Serikali ya Libya imetangaza hali ya dharura ya mwaka mzima kwa shabaha ya kuzuia kuenea magonjwa ya kuambukiza katika maeneo yaliyokuumbw...
-
.Na.Ahmad Mmow. Mahakama ya mkoa wa Lindi,leo imewachia huru makada watatu wa CHADEMA waliokuwa wanakabiliwa na shitaka la kushiwishi kute...
-
KINGS FM TOP 30 MAY 27 KWA NGWARU BADO NI SHEEEDAH Midundo mikali inasikika kila kona kwenye media tofauti tofauti duniani kote, Nchin...
-
1. Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, amezungumzia sababu za kukosekana kwa hotuba yake Bungeni na kusema Wame...
No comments:
Post a Comment